Hii unaambiwa imetokea Kisumu Ndogo, Donholm nchini Kenya Ijumaa
iliyopita. Makonda hao walilazimishwa kuoga hadharani kwa kinachaodaiwa
wananuka. Wateja wamekuwa wakilalamika kwamba makonda hawa wananuka na
hivyo kuathiri biashara. Makonda hao waliogeshwa huku wadau
wakishushudia na kuhakishiwa usafi kwa makonda itakuwa ni swala la
lazima.
NBAA yawanoa watumishi wa NAOT Dodoma
-
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inaendesha
warsha ya mafunzo ya siku tano kwa watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi
(NAO...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment