Mchezaji
wa Kimataifa Emmanuel Okwi amesimamishwa kucheza Soka kwa Muda Kutokana
na matatizo ya Uhamisho wake kutoka Simba kwenda Tunisia,Pia Kutoka
Tunisia kuja yanga.Hivyo TFF ipo kwenye utaratibu wa Kuhakikisha
Mchezaji huyo anapata haki zake na anarejea kwenye Soka kama kawaida
yake.
UKAGUZI WA VYAKULA VYA MIFUGO NI ZOEZI ENDELEVU- DKT. OMARCH
-
Hayo yamesemwa na Meneja wa Maabara Kuu ya Veterinari kutoka Wakala ya
Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Dkt. Geofrey Omarch alipokuwa
akifanya ukaguz...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment