SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa
(FIFA) limemuidhinishamshambuliaji Mganda, Emmanuel Arnold Okwi kuchezea
klabu ya Yanga ya Dar es Salaam. Katibu wa Shirikisho la Soka
Tanzania (TFF), Celestine Mwesigwa ametoa taarifa muda huu kwamba, FIFA
imewaandikia barua ikiwaambia Okwi ni halali kuchezea Yanga SC.
“Suala la Okwi limekwisha, ila siwezi kuzungumza zaidi kwa sasa naingia
kwenye kikao, tutatuma taarifa kwa vyombo vya habari baadaye,”alisema
Mwesigwa. TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI MOTOMOTO(USIPITWEEEE)
RUANGWA HATUNA DENI NA RAIS DKT. SAMIA - MAJALIWA
-
Mbunge wa Jimbo la Ruangwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wakazi
wa Wilaya ya Ruangwa hawana deni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment