Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, February 13, 2014

SERIKALI YAPOKEA WATAALAM WA KUJITOLEA KUTOKA JAPAN

 Naibu Katibu Utumishi  Bw.HAB Mkwizu (kushoto) akizungumza na wataalam wa kujitolea kutoka Japan katika hafla fupi ya kuwakaribisha nchini iliyofanyika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Rais,Utuimishi.Kulia ni Naibu Mkurugenzi wa JICA Tanzania Bw. Shinya Tomonari.


 
Naibu Katibu Mkuu  Utumishi Bw.HAB Mkwizu (wa pili kutoka kulia mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu wa kujitolea  wa fani mbalimbali kutoka Japan waliokuja kutoa huduma katika sekta mbalimbali nchini
TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI MOTOMOTO(USIPITWEEEE)

No comments:

Post a Comment