Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, February 7, 2014

RAIS WA TFF AZUNGUMZIA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE NDANI YA SIKU 100

 Rais wa shirikisho la Mpira wa miguu nchini TFF Ndugu Jamal Malinzi katikati akizungungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo juu ya mafanikio ya uongozi wake kwa siku mia moja toka waingie madarakani, Kulia ni Afisa habari wa TFF Bonifas Wambura na kushoto ni Mshauri wa ufundi Bwana Rutayunga Peregenus
 Pichani ni baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia mkutano huo uliofanyika leo ndani ya moja ya ukumbi wa hotel ya Kempisk Hyatt Regence Hotel,jijini Dar.CHANZO MICHUZIJR BLOG

No comments:

Post a Comment