Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, February 10, 2014

Tetesi za kuondoka Man United: angalia alichopost Chicharito

Screen Shot 2014-02-10 at 2.54.14 PM
Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na tetesi kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Mexico anayekipiga Manchester United Javier Hernandez yupo mbioni kujiunga na kundi la wachezaji watakaondoka Old Trafford mwishoni mwa msimu huu.Hernandez amekuwa akikosa nafasi ya kucheza mara nyingi katika kikosi cha David Moyes jambo lilalotajwa kumfanya akose raha ndani ya club.

Screen Shot 2014-02-10 at 2.50.23 PM
Mmexico huyo mapema jana ali-retweet tweet ya Sky Sports iliyokuwa ikihusu yeye kujiunga na Tottenham msimu ujao ambapo baadae baada ya mchezo wa sare ya 2-2 vs Fulham ambao aliingia kipindi cha pili, Hernandez aliandika kwenye akaunti yake ya Instagram kwamba:  “Muda wa kuongea vitu vingi utakuja..
na milladayo

No comments:

Post a Comment