Baadhi ya vijana waliokamatwa katika vurugu hizo wakiwa chini ya ulinzi.

Baadhi ya majeruhi katika waliojeruhiwa kwenye vurugu hizo.

Polisi wakipambana na vijana waliokutwa eneo la msikiti wa Musa.
Vijana wakiwa tayari kupambana na polisi.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa eneo la msikiti wa Musa mtaa wa Majengo, Mombasa.
Mojawapo ya gari likiteketea kwa moto wakati wa vurugu hizo.

No comments:
Post a Comment