Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, February 4, 2014

Uganda yaelezea msimamo kuhusiana na vita vya Sudan Kusini

pppp_95e2c.jpg
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje nchini Uganda anasema nchi inajukumu muhimu katika juhudi za kieneo za kutatua hali ya usalama nchini sudan Kusini licha ya ukosoaji kwamba serikali ya Kampala inadumaza mashauriano ya amani yanayoendelea nchini Ethiopia kati ya pande hasimu.
CHANZO:VOA

No comments:

Post a Comment