Na. Ismael Mohamed: Watu wawili wamepoteza maisha, majeruhi 20 na wengine 9 hali zao mbaya wamehamishwa hospitali na kupelekwa Bugando kutokana hali zao kuwa mbaya na 10 wakiwa wamelazwa katika hospitali moja karibu na eneo la tukio lilipo tokea baada ya basi la Mohammed Trans la Mwanza-Singida kuacha njia na kupinduka eneo la Ukiliguru, Mwanza!..
Waziri Mwigulu Aelekeza Taasisi za Umma Kutumia Mfumo wa Nest ili Kukuza
Ufanisi
-
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezitaka Taasisi za Umma nchini
zinazoshindwa kutumia Mfumo wa Kielektroniki wa Manunuzi ya Umma, National
e-P...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment