Leo
hi BUSTANI YA HABARI ilibahatika kukutana na tukio la ugawaji kadi
katika kijiwe kikongwe cha siasa mkoani Morogoro kinachofahamika kwa
jina la TAHARIRI SQUARE.Watu kadhaa wamejiunga na chama hicho baada ya
kupigwa darasa la nguzo za chama hicho ambazo zimeandikwa nyuma ya kadi.
KOKA ACHAGIZA ML.5 KUSAIDIA MATUNDU YA VYOO SHULE YA SAINI VISIGA
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe. Silvestry Koka katika kuunga mkono
juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment