Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, March 21, 2014

KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AWATAKA WAJUMBE KUWEPO KWENYE VIWANJA VYA BUNGE LEO MCHANA

ngaoBUNGE MAALUM 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Katibu wa Bunge Maalum Bwana Yahaya Khamis Hamad anawatangazia Wajumbe wote wa Bunge Maalum kuwa wafike kwenye viwanja vya Bunge leo saa 8:45 mchana ili kushiriki kikao cha Bunge Maalum kitakachoanza saa 9:00 mchana na kufuatiwa na hotuba ya ufunguzi wa Bunge Maalum itakayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete saa 10 jioni. Kwa maelezo zaidi piga 0713 123 254.
Imetolewa na Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum
DODOMA
21/03/2014

No comments:

Post a Comment