Mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia CCM Bw. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Mpigapicha wa magazeti ya Jambo Leo Richard Mwaikenda wakati wamkkutano wake wa kampeni kata ya Ubena.
Mwimbaji
wa kundi la TOT Hafsa Kazinja akifanya vitu vyake katika mkutano wa
kampeni uliofanyika kwenye kijiji cha Kaloleni kata ya Ubena leo.Msanii Dokii akiimba wakati wa mkutano wa kampe ni katika kijiji cha Kaloleni .Umati mkubwa umehudhuria katika mkutano huo.Msanii Sam wa Ukweli akiimba katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kaloleni.Msanii
Dokii akimkabidhi Mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia CCM
Ridhiwani Kikwete fulana yenye picha yake ambayo imebuniwa na msanii
huyo.Sam wa Ukweli akifanya vitu vyake.Baadhi ya wananchi w aliojitokeza katika mkutano wa Kampeni katika kijiji cha Visakazi kata ya Ubena.
Katibu wa CCM wilaya ya Mufindi Bw. Miraji Mtaturu akngea na wana Chalinze katika kijiji cha UbenaWananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni kijiji cha kaloleni
No comments:
Post a Comment