DEREVA wa
lori la mafuta, Ally Hassan Ngoma (62) mkazi wa Korogwe amefariki dunia
papo hapo baada ya kutokea ajali iliyohusisha gari tatu ikiwemo basi
ndogo, lori na basi kubwa kugongana uso kwa uso na kusababisha kifo cha
mtu mmoja na majeruhi 38 katika ajali iliyotokea eneo la Bwawani majira
ya saa 4:30 asubuhi mkoani Pwani.na Juma Mtanda blog
Serikali Yaweka Mkazo Kuboresha Uwekezaji Kufikia Uchumi wa Kipato cha Juu
2050
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali
Mwinyi akizungumza leo Machi 27, 2026 jijini Dar es Salaam katika Mkutano
wa Uhakik...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment