DEREVA wa
lori la mafuta, Ally Hassan Ngoma (62) mkazi wa Korogwe amefariki dunia
papo hapo baada ya kutokea ajali iliyohusisha gari tatu ikiwemo basi
ndogo, lori na basi kubwa kugongana uso kwa uso na kusababisha kifo cha
mtu mmoja na majeruhi 38 katika ajali iliyotokea eneo la Bwawani majira
ya saa 4:30 asubuhi mkoani Pwani.na Juma Mtanda blog
ELIMU YA MATUMIZI SALAMA YA GESI NA FURSA YATOLEWA UDOM, TZLPGA YAPINGA
DHANA POTOFU.
-
Wananchi wametakiwa kuachana na dhana potofu kuwa chakula kinachopikwa kwa
gesi ya LPG hakina ladha kama cha kupikwa kwa mkaa, huku ikielezwa kuwa
tafiti...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment