DEREVA wa
lori la mafuta, Ally Hassan Ngoma (62) mkazi wa Korogwe amefariki dunia
papo hapo baada ya kutokea ajali iliyohusisha gari tatu ikiwemo basi
ndogo, lori na basi kubwa kugongana uso kwa uso na kusababisha kifo cha
mtu mmoja na majeruhi 38 katika ajali iliyotokea eneo la Bwawani majira
ya saa 4:30 asubuhi mkoani Pwani.na Juma Mtanda blog
WIZARA YA AFYA YASIKITISHWA NA WANAOTAPELI KWA JINA LA MCHENGERWA
-
WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu
ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary
Mchengerwa ku...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment