DEREVA wa
lori la mafuta, Ally Hassan Ngoma (62) mkazi wa Korogwe amefariki dunia
papo hapo baada ya kutokea ajali iliyohusisha gari tatu ikiwemo basi
ndogo, lori na basi kubwa kugongana uso kwa uso na kusababisha kifo cha
mtu mmoja na majeruhi 38 katika ajali iliyotokea eneo la Bwawani majira
ya saa 4:30 asubuhi mkoani Pwani.na Juma Mtanda blog
SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
-
*Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati
akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara
wa...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment