Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, March 26, 2014

Matukio mbalimbali yaliyojiri Leo Dodoma kwenye Bunge Maalum la Katiba

habari
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Dkt. Fenella Mukangara (kulia) na Anne Kilango Malechela(kushoto) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo.
kajubi
 Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Kajubi Mwakajanga (kushoto) na Yusuph Omar Chunda(kulia) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo.
kigunge
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Paul Makonda(kulia),Anne Makinda(wa pili kulia),Yusuph Singo(wa pili kushoto)  na Kingunge Ngombale Mwiru(kushoto) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo.

makaidi
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Kingunge Ngomabale Mwiru (kushoto) na Dkt.Emmanuel John Makaidi(kulia) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo.
mbowe
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Profesa Ibrahim Haruna Lipumba (kushoto) na Freeman Mbowe(kulia)  wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea katika kikao cha Bunge hilo.
ukawa
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambao pia ni wanachama wa UKAWA wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea katika kikao cha Bunge hilo.
ndungai
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai akibadilishana mawazo leo mjini Dodoma  na waandishi wa habari kabla ya kikao cha Bunge hilo.
mwenykit
Mwenyekiti wa  Bunge Maalum la Katiba  Samwel Sitta akitoka nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo leo mjini Dodoma.
sita
Mwenyekiti wa  Bunge Maalum la Katiba  Samwel Sitta akitoa ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali leo mjini Dodoma kabla ya  kuharishwa kwa kikao cha Bunge hilo.(Picha na Tiganya Vincent, Dodoma).


 

No comments:

Post a Comment