kupitia ukurasa wake wa Facebook Hamisi kaandika "Nimenusurika
kuuawa muda si mrefu. Mungu mkubwa. Askari kwenye gari ananiambia na
bahati yako nimekukosa, nililenga kichwa....kijana mmoja alikaa mbele
yangu amepigwa risasi kwenye paji la uso, sijui kama amenusurika! Vijana
wamenilinda kwa ujasiri bila hofu. Leo askari wamenikamata kwa staha.
Siwezi kukubali kamwe dhulma ya mabepari dhidi ya wanyonge! Niliwaahidi
na niliapa kuwatetea..."
TIZESA YAFANYA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KAGERA, WAWEKEZAJI KUPATA MADAWATI
NGAZI YA HALMASHAURI
-
NA DIANA DEUS_BUKOBA.
Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TIZESA)
imewaahidi wawekezaji wazawa kuanzisha madawati ya uwekezaji kat...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment