Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, March 27, 2014

MBWA ANUNULIWA KWA BILIONI 3.2 JIONEE HAPA

Mbwa wa huko nchini China amenunuliwa kwa dola milioni 2 (sawa na zaidi ya shilingi bilioni 3.2) na kufanya kuwa mbwa aliyenunuliwa kwa bei kubwa zaidi.


Ukiwa na Habari au matukio tutumie kupitia namba yetu ya Whatssap 0713966552 au email address sekdavid64@hotmail.com
 
Kwa mujibu wa Qianjiang Evening News, mbwa huyo alinunuliwa kwa Yuan milioni 12 mashariki mwa jimbo Zhejiang. Mbwa hao wanadaiwa kufanana na simba na wana thamani kubwa kwakuwa wanaaminika kuleta bahati, afya na ulinzi.


No comments:

Post a Comment