Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi,Ndg. Abdulrahman Kinana,Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete pamoja na wanaCCM wengine wakitembea kuelekea kwenye Viwanja vya Polisi Chalinze,Mkoani Pwani kwa ajili ya Uzinduzi wa Kampeni za CCM,zilizofanyika leo Machi 19, 2014.
Matembezi yakiendelea.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akicheza ngoma ya asili.
Michezo : Lina PG Tour yafufua gofu Moshi
-
Na Mwandishi wetu, Moshi
KUWEPO kwa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour katika viwanja vya gofu vya
klabu ya Moshi Gymkhana, kumesaidia kufufua mchezo ...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment