| Wachimbaji wakiandamana leo wilayani Nzega mkoani Tabora.
Jeshi la
polisi wilayani Nzega mkoani Tabora limetumia nguvu kusambaratisha
maandamano ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu yaliyolenga kupinga kufungwa kwa machimbo yao ya Mwashina yaliyo jirani na mgodi wa Resolute Tanzania Limited wilayani Nzega.
Mara
baada ya kukaribia katika eneo la machimbo ambako maandamano yalikuwa
yanaelekea,kabla hata hawajafika eneo la machimbo,ghafla polisi
waliibuka na kuanza kurusha mabomu hovyo na baadaye kumkata mbunge wa
jimbo la Nzega Dkt Hamis Kigwangalla ambaye kabla ya kuanza kwa
maandamano hayo alifanya mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nzega
ndogo ili kujua mstakabali wa wachimbaji hao ambao hivi karibuni
waliziuiwa kuchumba na kamishana wa madini nchini Paul Masanja kwa kile
kilichotajwa kuwa wamevamia eneo hilo
|
Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akutana na makundi ya Upinzani chini Sudan Kusini
Jijini Dar es Salaam
-
*Pichani, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na
sehemu ya wajumbe wa makundi yaliyoshiriki mikutano hiyo, yakiwemo United
Peo...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment