Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, March 1, 2014

RAIS KIKWETE ASHIRIKI MAZISHI YA BALOZI KAZAURA


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Balozi Fulgence Kazaura wakati wa
mazishi yake yaliyofanyika katika kijiji cha Bugandika,Wilaya ya Misenyi
Mkoani Kagera leo(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment