Taarifa
ya Uhakika iliyotufikia hivi punde kwenye mtandao huu ,inaeleza kuwa
Kivuko cha Mv. Magogoni kinachovusha watu na mali zao kutoka Magogoni -
Kigamboni jijini Dar es Salaam, kimepatwa na tatizo jioni hii baada ya
kukatika kwa sehemu ya mkono unaoshika mlango wa upande mmoja wa
kuvushia magari na waenda kwa miguu.Utaratibu wa kutengeneza Kivuko
hicho unafanywa hivi sasa na Mafundi wa Kivuko huku Abiria wakiwa
wamesimama pembeni kusubiria utaratibu mwingine.
Sehemu ya Abiria waliokuwa kwenye kivuko hicho wakiwa wamesimama pembeni kusubiria Kivuko kingine.
No comments:
Post a Comment