Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, April 21, 2014

BREAKING NEWSS::::WATU 20 INADAIWA WAMEPOTEZA MAISHA MKOANI SIMIYU BAADA YA BASI KUPINDUKA

 Habari zilizoufikia hivi punde kutoka mkoani Simiyu ni kwamba watu zaidi ya 20 wamepoteza wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa baada ya basi la Luhuye walilokuwa wanasafiria kutoka Musoma kwenda Mwanza kugonga nyumba na kupinduka wilayani Busega mkoani Simiyu.chanzo malunde1 blog
TAARIFA KAMILI ITAKUJIA ENDELEA KUWA NASI

No comments:

Post a Comment