Wadau, "Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema".
Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu, Asanteni Sana
Edwin Moshi,
C.E.O
Eddy Blog
WAZIRI MKUU ATOA SIKU TANO KNCU ILIPE DENI LA SH. MILIONI 400
-
*Ni za wakulima wa kahawa AMCOS ya Mwika Kinyamvuo
*Akagua ujenzi wa hospitali ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemua...
30 minutes ago


No comments:
Post a Comment