Wadau, "Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema".
Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu, Asanteni Sana
Edwin Moshi,
C.E.O
Eddy Blog
RIDHIWANI: UTUMISHI WA UMMA UENDANE NA KASI YA TEKNOLOJIA
-
Ahimiza matumizi AI kurahisisha utoaji huduma za umma
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment