Wadau, "Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema".
Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu, Asanteni Sana
Edwin Moshi,
C.E.O
Eddy Blog
TUJIKINGE NA UGONJWA WA KICHAA CHA MBWA KWANI ZAIDI YA WATU 60,000 HUFARIKI
KILA MWAKA
-
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Abdul Mhinte katikati akiwa
katika picha ya pamoja katika Maadhimisho ya Kichaa cha Mbwa Duniani
Wilayani M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment