Katibu
Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt.Richard Sezibera akimkaribisha
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) kuhudhuria mkutano wa
wakuu wa nchi za Jumuiya hiyo unaofanyika leo (picha na Freddy Maro).
MCHUNGAJI TENGWA AWATAKA WANASIASA KUTUMIA BUSARA KIPINDI CHA UCHAGUZI
-
Mwalimu Kiongozi wa huduma ya matengenezo ya kiroho Augustine Tengwa
ameviomba vyama vya siasa nchini kutogombania madaraka kuilinda amani ya
Tanzania
...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment