Katibu
Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt.Richard Sezibera akimkaribisha
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) kuhudhuria mkutano wa
wakuu wa nchi za Jumuiya hiyo unaofanyika leo (picha na Freddy Maro).
Mkutano Mkuu wa Kilimo Ikolojia Hai kufanyika Machi mwaka huu
-
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Kilimo Hai Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo (TOAM)
linaratarajia kufanya Mkutano MKuu wa Nne Machi 3hadi Machi 5 ...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment