Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, (SACP) Deusdedit Nsimeki, (kulia) akiwa na polisi wengine wa mjini Babati, wakati akiwaonyesha waandishi wa habari baadhi ya misokoto 6,000 ya Bangi waliyoikamata kwenye mabasi mawili hivi karibuni ambayo ilikuwa imewekwa kwenye mikate iliyokuwa imesafirishwa na watu wawili,ambao wamewekwa ndani.
Wanawake, wajawazito na watoto 178 wapimwa moyo Arusha kwa siku tatu
-
Na Mwandishi Maalumu – Arusha.
04/3/2025 Wanawake, wajawazito na watoto 178 wamefanyiwa uchunguzi wa
magonjwa ya moyo katika zoezi la upimaji wa magonjw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment