Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed Shein, alipomtembelea nyumbani Ikulu ya Migombani Zanzibar. Mhe Sitta alikuwa Visiwani Zanzibar kwa lengo la kuonana na Mhe. Shein kumpatia taarifa kamili ya shughuli za Bunge Maalum la Katiba. Picha na Owen Mwandumbya - Bunge Maalum
DKT. MASIKA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MRADI WA MEMBE,ATOA MWITO KWA WAKULIMA
-
Na Mwandishi Wetu,Dodoma
MWENYEKITI Bodi ya Uongozi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Dkt. Richard Masika
amekiri kuridhishwa na hatua zinazofanywa na Tume kati...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment