Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, April 20, 2014

TAZAMA PICHA ZA MABINGWA WAPYA LIGI KUU TANZANIA AZAM FC WAKIPOKEA KOMBE LAO KWA SHANGWE

 Wachezaji wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Azam FC ya Chamazi Dar es Salaam wakishangilia baada ya kuweka historia ya kutwaa Ubingwa wa Soka Tanzania 2013-2014. Ubingwa huo ulikuwa unashikiliwa na Yanga iliyoambulia nafasi ya pili na jana ikitoka sare na Simba 1-1
Wachezaji wa Timu ya Azam Fc Wakisherekea Kombe lao la Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Baada ya Kukabidhiwa jana katika Uwanja wa Azam Compex Leo wakiwa na Mwenyekiti wao




No comments:

Post a Comment