Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, May 20, 2014

Hivi Ndivyo Hayati Michael Jackson alivyotumbuiza kwa hologram Jumapili iliyopita katika tuzo za Billboard - Angalia Video

20140518-135127.jpg

Kwa nguvu ya teknolojia, mashabiki wa muziki waliohudhuria tuzo za muziki za Billboard Jumapili iliyopita (May 18) huko Las Vegas, Marekani walipata nafasi ya kushuhudia live show ya kipenzi cha dunia hayati Michael Jackson ambaye pamoja na kuwa hayuko hai lakini alitumbuiza jukwaani kwa mfumo wa hologram.
Barani Afrika teknolojia hiyo iliwahi kutumika kwa mara ya kwanza mwaka jana nchini Afrika Kusini, ambapo Hayati Brenda Fassie alitumbuiza kwa njia hiyo katika ‘Hansa Pilsner Festival Legends’ mwezi march 2013 huko Johannesburg.
Kufahamu zaidi kuhusu teknolojia ya hologram ingia hapa

No comments:

Post a Comment