Marehemu
Rashid Chilangwa, Mtunza Bustani Mkuu wa Ikulu enzi za uhai wake.
Marehemu alifariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa
Uhuru jijini Dar es salaam
Mwili wa marehemu ukiombewa kabla ya kupelekwa shambani kwake Kisarawe kwa mazishi
Viongozi wa ofisi ya Rais Ikulu wakijadiliana na wanafamilia ya marehemu kuhusu mwenendo wa mazishi
MAELEKEZO YA DKT. MWIGULU YA KUSULUHISHA MIGOGORO YA ARDHI SINGIDA YAANZA
KUTEKELEZWA.
-
Maelekezo ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba aliyoyatoa wakati
wa ziara yake ya kikazi wilayani Ikungi na katika Manispaa ya Singida Juni
27,...
6 hours ago




No comments:
Post a Comment