Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, May 3, 2014

HUYU NDIYE MFANYAKAZI WA IKULU ALIYEFIA KWENYE SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR

 Marehemu Rashid Chilangwa, Mtunza Bustani Mkuu wa Ikulu enzi za uhai wake. Marehemu alifariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
 Mwili wa marehemu ukiombewa kabla ya kupelekwa shambani kwake Kisarawe kwa mazishi
Viongozi wa ofisi ya Rais Ikulu wakijadiliana na wanafamilia ya marehemu kuhusu mwenendo wa mazishi

No comments:

Post a Comment