Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, May 4, 2014

IBADA YA MSIBA WA MAREHEMU MARY MDEGELLA DMV

 Ibada ya msiba wa marehemu Mary Mdegella imefanyika Jumamosi My 3, 2014 DMV Georgia Ave Ibada iliyongozwa na Mchungaji Malekela pamoja na mchungani Samson na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki wa karibu
 Mchungaji Maklekela akingaza 
Mchungaji Samson akifanya maombi.
 Fenista Msungu mtoto wa marehemu akifuatilia Ibada
 Juu na chini ni Watu mbalimbali waliojumuika pamja

No comments:

Post a Comment