Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, May 3, 2014

NANI NI MKALI WA KUSHANGILIA MAGOLI KATI YA PAOLO DI CANIO NA JOSE MOURINHO?

Paolo Di Canio alikuwa anashangilia bao mwaka jana kwa staili ya kuteleza wakati Sunderland ilipoifunga Newcastle mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu nchini England
Jose Mourinho mwaka 2012 akiwa na Real Madrid baada ya kuifunga Manchester City Bernabeu UEFA alishangilia kwa staili ya kuteleza kama wachezaji wanavyofanya.

Nani mkali wa kushangilia kati ya makocha hawa?

No comments:

Post a Comment