Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, May 12, 2014

NDOTO ZA RONALDO, BALE KUBEBA LA LIGA ZAYEYUKA KABISA, REAL MADRID YALA KISAGO CHA 2-0 KUTOKA KWA CELTA VIGO

Party pooper: Celta Vigo striker Charles scored twice in their 2-0 win against Real Madrid on Sunday
MAKOSA mawili ya Sergio Ramos  na  Xabi Alonso yameyeyusha matumaini ya  Real Madrid kushinda makombe matatu msimu huu. 
Real Madrid walikuwa na uwezo kwa kubeba La Liga mbele ya wapinzani wao FC Barcelona na Atletico Madrid, lakini wameshindwa kufanya hivyo baada ya kupigwa mabao 2-0 na Celta Vigo usiku huu.
 Kikosi cha Celta Vigo: Alvarez, Jonny, Cabral, Fontas, Aurtenetxe, A Fernandez (A Lopez 56), Krohn-Dehli, Rafinha (Madinda 71), Orellana, Charles (Bermejo 67), Nolito.
Kikos cha Real Madrid: Lopez, Arbeloa (Coentrao 56), Nacho, Ramos, Marcelo, Alonso, Casemiro (Willian Jose 69), Khedira (Illaramendi 56), Modric, Isco, Morata.
Party pooper: Celta Vigo striker Charles scored twice in their 2-0 win against Real Madrid on Sunday
Muuaji: Mshambuliaji wa Celta Vigo , Charles alifunga mabao mawili katika ushindi wao wa 2-0 dhidi ya Real Madrid jumapili
Tucked away: Charles (left) scored his second in the 63rd minute to give Celta a two-goal cushion over Real
Upset: Celta Vigo players congratulate Charles (right) after his first goal at the Estadio de Balaidos Stadium

Nightmare: Real's Marcelo has his heads in hands after defeat at Celta dashes their La Liga title hopes
Down and out: Real players look dejected as they realise their La Liga title ambitions slip away
Wachezaji wa Real wakiwa hawaamini kinachotokea baada ya ndoto zao za kubeba La Liga kuyeyuka

 
Moving on: Real midfield duo Luka Modric (left) and Xabi Alonso (right) were powerless during their defeat
Viungo wa Real Madrid,  Luka Modric (kushoto) na Xabi Alonso (kulia)  hawakutosha kuikoa klabu hiyo na kipigo
Missed opportunity: Defeat at Celta means Carlo Ancelotti cannot win La Liga in his debut season as Real boss
Getting to grips: Marcelo (right) tries to shrug off the challenge of Celta defender Jonny (left)

Heavy hit: Sergio Ramos (left) tackles Rafinha (right) as Real Madrid lost 2-0 at Celta Vigo on Sunday

No look: Nacho (left) was unable to prevent Real's title hopes disappearing with the club third in La Liga
Mpepetano ulikuwa mkali, lakini mwisho wa dakika 90, Celta Vigo wameibuka vidume

No comments:

Post a Comment