Ikumbukwe tarehe 26 may 1996, Nchi ya Tanzania ilipata pigo baada ya kufatiwa na tukio la kuzama kwa meli ya mv bukoba, ambapo tukio hilo lilisababisha kupotea kwa maisha ya watanzania wengi sana, mungu azilaze roho zaarehemu hao mahali pema peponi amin.
JAS yafanya kikao cha kufunga Mwaka 2025
-
Na Mwandishi Wetu Morogoro 27 Disemba, 2025.
Jumuiya ya Wanafunzi ya Jiba Active Students (JAS) imefanya kikao maalum
cha kufunga shughuli za Mwaka 2025...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment