Vita ni vita, lakini vita ya simba na fisi inavutia sana, maana fisi zake ni kuvizia tu simba aue mnyama halafu yeye anaingia pale na wenzake wanafanya ushirikiano saccos, wee! simba atajuta, jionee mwenyewe mambo yalivyokuwa huko Chobe National Park baada ya simba kujiulia tembo mnyonge wakati wanpata msosi wao fisi wakalianzisha...!
AQRB YATARAJIA KUONESHA UJUZI MPYA NA TEKNOLOJIA ZA KISASA KWENYE MKUTANO
WA MWAKA
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
BODI ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiliaji Majenzi (AQRB)
inatarajia kufanya mkutano wao wa mwaka ambao utafanyika...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment