Mwendesha pikipiki na abiria (majina hayakutambulika) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba T818 BNS Jana mchana. Mpiga picha wa tukio hili alienda kutoa taarifa ya ajali kiTuo cha polisi cha Kabuku ambapo Polisi walienda kutoa msaada wa kukimbiza majeruhi hospitali pamoja na kupima ajali. (Picha kwa hisani ya Rodney Thadeus)
TNCC, Belarus Wasaini Makubaliano Kufungua Fursa Mpya za Biashara
-
*Fursa mpya za biashara, uwekezaji na ushirikiano wa kimkakati
zimefunguliwa kufuatia kusainiwa kwa Hati ya Makubaliano ya Maelewano (MoU)
kati ya Tanzan...
3 hours ago

poleni sana mungu awape nguvu na awaponye haraka
ReplyDelete