Mwendesha pikipiki na abiria (majina hayakutambulika) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba T818 BNS Jana mchana. Mpiga picha wa tukio hili alienda kutoa taarifa ya ajali kiTuo cha polisi cha Kabuku ambapo Polisi walienda kutoa msaada wa kukimbiza majeruhi hospitali pamoja na kupima ajali. (Picha kwa hisani ya Rodney Thadeus)
WAZIRI SANGU: MAHUSIANO MEMA MSINGI WA UMOJA WA TAIFA
-
-Ahimiza Mshikamano katika kujenga Tanzania Imara
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus
Clement Sangu amesisitiza umuh...
33 minutes ago

poleni sana mungu awape nguvu na awaponye haraka
ReplyDelete