Mwendesha pikipiki na abiria (majina hayakutambulika) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba T818 BNS Jana mchana. Mpiga picha wa tukio hili alienda kutoa taarifa ya ajali kiTuo cha polisi cha Kabuku ambapo Polisi walienda kutoa msaada wa kukimbiza majeruhi hospitali pamoja na kupima ajali. (Picha kwa hisani ya Rodney Thadeus)
Rostam Azizi atunukiwa tuzo ya juu ya heshima ya TNCC
-
*Mwenyekiti wa Taifa Group na mfanyabiashara mashuhuri, Bw. Rostam Azizi,
ametunukiwa Tuzo ya Juu ya Heshima ya Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania
(TNC...
47 minutes ago

poleni sana mungu awape nguvu na awaponye haraka
ReplyDelete