Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, June 19, 2014

BET NDO ISHANUKIA KWA DIAMOND, NA HIKI NDO ATAKIFANYA KABLA YA KUTOLEWA KWA TUZO HIZO


Baada ya MTV MAMA awards iliyofanyika huko bondeni Afrika ya kusini na kuteka akili za watu hapa town, haswa baada ya mkali wa Afro Pop kupiga bonge la show ambalo lilimchanganya hadi Mr.President na kumfanya afunguke kukubali na show ile. Hii sasa ni moto wa kuotea mbali, huku wakati Diamond Platnumz akiwa bado ana-run hii DSM, hasa baada ya kuachia nyimbo yake ya Mdogo mdogo inayopigwa kila kona ya media hapa Bongo. Hivi sasa ni moja kwa moja hadi jiji la malaika aka Los Angels huko kwa Obama ambapo ndipo anatarajia kutia mguu katika maadnalizi ya awali ya tuzo hizo za BET., Kupitia ukurasa wake wa Instagram alifunguka na kudokezea tu, akisema “LOS ANGELES! need i say More?”, kweli hamna la ziada la kusema hapo lugha ya picha hii inasomeka vizuri sana.chanzo Vibe


No comments:

Post a Comment