Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, June 6, 2014

BREAKING NEWS: WANAFUNZI WA CHUO CHA USAFIRISHAJI CHA NIT WAFANYA VURUGU MUDA HUU KUSHINIKIZA KUPEWA PESA ZAO ZA MKOPO‏

 Gari la Polisi likiwa limefika eneo la Tukio kwa ajili ya usalama chuoni hapo
 Mmoja wa Mawaziri wa Serikali ya Wanafunzi akizungumza jambo
 Polisi wakiwa wakiwa wanaimarisha ulinzi
 Wanafunzi wakiwa wanapiga Makelele kushinikiza Kulipwa pesa zao
 Usalama umeimarishwa..

Endelea  kufuatilia tukio zima hapa hapa.....

No comments:

Post a Comment