Kaimu kamanda wa Polisi Mtwara Maisha Maganga ameongea na na
kusema ‘ukiliangalia ni bomu ambalo ni la muda mrefu nadhani ni kipindi kile
cha vita ya Msumbiji, tulilipeleka porini likalipuliwa na ulipuaji wake haukuwa
na madhara… na sio kwamba ni bomu tunaweza kusema limeletwa ama imekuaje, ni
bomu la muda mrefu tu’
WAZIRI WA FEDHA AKUTANA NA UJUMBE WA KITENGO CHA KUDHIBITI FEDHA HARAMU
(FIU)
-
*Na. Joseph Mahumi na Saidina Msangi, WF, Dodoma*
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amekutana na kufanya
mazungumzo na ujumbe kutoka ...
1 hour ago





No comments:
Post a Comment