Kaimu kamanda wa Polisi Mtwara Maisha Maganga ameongea na na
kusema ‘ukiliangalia ni bomu ambalo ni la muda mrefu nadhani ni kipindi kile
cha vita ya Msumbiji, tulilipeleka porini likalipuliwa na ulipuaji wake haukuwa
na madhara… na sio kwamba ni bomu tunaweza kusema limeletwa ama imekuaje, ni
bomu la muda mrefu tu’
Puma Energy yakabidhi Serikali gawio la shilingi bilioni 15
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Dar es Salaam. Kampuni ya Puma Energy Tanzania imekabidhi Serikali ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania gawio la kihistoria la shilin...
6 minutes ago





No comments:
Post a Comment