Kaimu kamanda wa Polisi Mtwara Maisha Maganga ameongea na na
kusema ‘ukiliangalia ni bomu ambalo ni la muda mrefu nadhani ni kipindi kile
cha vita ya Msumbiji, tulilipeleka porini likalipuliwa na ulipuaji wake haukuwa
na madhara… na sio kwamba ni bomu tunaweza kusema limeletwa ama imekuaje, ni
bomu la muda mrefu tu’
Serikali Yatoa Tahadhari ya Magonjwa ya Mlupuko, Yasisitiza Kinga kwa
Wananchi
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Serikali kupitia Wizara ya Afya Tanzania imetoa tahadhari kwa wananchi
kuhusu ongezeko la magonjwa ya mlipuko ikiwemo mafua makal...
1 hour ago





No comments:
Post a Comment