Wakazi wa Iringa wanatarajia kushuhudia wanamuziki zaidi ya 10
wakipanda jukwaani katika Kilimanjaro Music Tour 2014 ambayo itafanyika
uwanja wa Samora. Kuelekea show hiyo maandalizi ya mwisho yameendelea
ambapo majukwaa ndani ya uwanja na mabanda yalikuwa yakijengwa.
Hizi ni baadhi ya picha toka uwanja wa Samora.
Muonekano wa geti la kuingilia uwanja wa Samora
Muonekano wa jukwaa toka kwa pembeni ya uwanja
Muonekano wa jukwaa kwa upande wa nyuma ya jukwaa
Ufungaji wa taa za juu ya jukwaa
Eneo litakalotumika kwa ajili ya kugawa Kilimanjaro Premium Lager ya bure kwa mashabiki watakaojitokeza
Nyamachoma na Vyakula vingine vikiandaliwa
Bia za Kili zikiendelea kushushwa uwanjani
AY na DJ Mafuvu wakifanya majaribio ya sauti
Sam Misago akimpiga picha Mwana FA wakati wa majaribio ya sauiti
Snura na Sam Misago
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo
mkoani Lindi na...
2 hours ago












No comments:
Post a Comment