Huyu ni msanii anaekuja kwa kasi kwenye
tasnia ya filamu Tanzania Anaitwa Asfa
Omary kwa jina maarufu ni Neema wa twenty.Ni binti mdogo sana lakini anajituma
na anajua nini anachofanya katika kazi yake ya sanaa.Pia amekwisha cheza baadhi
ya Filamu kama jicho langu,mama ntilie,zena na betina ambazo pia
zimefanya Vizuri Sokoni
Ruby Play Yafungua Burudani ya Kasino Ndani ya Meridianbet
-
KUNA wakatia burudani hubadilika na kuwa uzoefu kamili, ndipo Ruby Play
inapokutana na Meridianbet. Ushirikiano huu mpya unaanzisha sura tofauti
kabisa ya...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment