Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, June 7, 2014

NI VILIO KENYA::TAZAMA PICHA NNE ZA MWILI WA MAREHEMU GEORGE TYSON ULIPOWASILI UWANJA WA NDEGE KENYA



JUU: Caroline Okumu, dada wa marehemu akiwa uwanja wa ndege na baadhi ya wanafamilia kabla ya kuanza safari ya kuelekea Kenya



Benson Okumu, mdogo wa Marehemu akiwa na mtoto wa marehemu Sonia wakiwa uwanja wa ndege kabla ya kuanza safari ya kuelekea Kenya.



Gladys Okumu mama yake marehemu George Tyson akiwa na dada yake baada ya mwili wa Marehemu kuwasili katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Intenational Airport, Nairobi.



Ndugu jamaa na marafiki wakisubiri kuwasili kwa mwili wa marehemu JKIA

No comments:

Post a Comment