Wananchi wakiwa eneo la ajali baada ya malori kugongana huko Simike, Mbeya.
AJALI hii imetokea maeneo ya Simike mkoani Mbeya ikiyahusisha malori
mawili na kusababisha foleni kubwa katika barabara hiyo. Kutokana na
foleni hiyo, wananchi wengi waliamua kutembea kwa miguu huku waendesha
bodaboda wakipata abiria wa kumwaga kutokana na barabara hiyo kutopitika
kwa muda.Chanzo GPL
NAIBU WAZIRI KIHENZILE AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA
YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 amefungua
rasmi Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji
unaofanyi...
35 minutes ago



No comments:
Post a Comment