Wananchi wakiwa eneo la ajali baada ya malori kugongana huko Simike, Mbeya.
AJALI hii imetokea maeneo ya Simike mkoani Mbeya ikiyahusisha malori
mawili na kusababisha foleni kubwa katika barabara hiyo. Kutokana na
foleni hiyo, wananchi wengi waliamua kutembea kwa miguu huku waendesha
bodaboda wakipata abiria wa kumwaga kutokana na barabara hiyo kutopitika
kwa muda.Chanzo GPL
KOKA ACHAGIZA ML.5 KUSAIDIA MATUNDU YA VYOO SHULE YA SAINI VISIGA
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe. Silvestry Koka katika kuunga mkono
juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment