STAA wa Hip Hop Bongo,ambaye pia ni kiongozi wa kundi la
Kikosi Cha Mizinga, Mtu Mzima Kalapina anatumia vizuri uaminifu alioupata
kutoka kwa wananchi kutokana na muziki.Siku ya jana Kalapina ameanza kutumikia
tenda ya ulinzi na usafi katika kituo kipya cha Makumbusho, Jijini Dar es
salaam, kituo ambacho kimechukua nafasi ya kituo cha mabasi cha Mwenge.
KOKA ACHAGIZA ML.5 KUSAIDIA MATUNDU YA VYOO SHULE YA SAINI VISIGA
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe. Silvestry Koka katika kuunga mkono
juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment