Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, June 4, 2014

RAIS DR. JK AKIWA NA MAWAZIRI WAWILI WA TANZANIA WALIPOTUNUKIWA SHAHADA MAALUM HUKO CANADA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa (kulia) na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Guelph jimboni Ontario..

No comments:

Post a Comment