Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na makamu wa Rais
Dkt.Mohamed Gharib Bilal muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea Toronto Canada ambapo yeye na
mwenyeji wake waziri Mkuu wa Canada Stephen Harper waliongoza mkutano wa
kimataifa uliohusu kuboresha afya ya wanawake na watoto na kupunguza vifo vya
wanawake wanapojifungua.(picha na Freddy Maro)
PSPTB YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI 2026: ASILIMIA 43.7 WAFAULU,
DIRISHA LA MITIHANI YA KATI KUFUNGULIWA JULAI 1, 2026
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya
mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyik...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment