Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na makamu wa Rais
Dkt.Mohamed Gharib Bilal muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea Toronto Canada ambapo yeye na
mwenyeji wake waziri Mkuu wa Canada Stephen Harper waliongoza mkutano wa
kimataifa uliohusu kuboresha afya ya wanawake na watoto na kupunguza vifo vya
wanawake wanapojifungua.(picha na Freddy Maro)
Serikali yawekeza zaidi ya shs bilioni 294.96 kwenye miradi ya kimkakati
katika serikali za mitaa
-
Na mwandishi wetu,Dodoma.
SERIKALI imefanikiwa kuwekeza zaidi ya shs bilioni 294.96 kwenye miradi 46
ya kimkakati katika Serikali za Mitaa tangu mwaka wa f...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment