Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, June 4, 2014

TAZAMA Picha Zote za Jinsi Mwili wa marehemu GEOGRE TYSON ulivyotolewa hospital ya AGHAKANI mpaka nyumbani Kwake

IMG_4327
Ilikuwa majira ya saa kumi na moja alasiri katika hospital ya Aghakan ndipo mwili ulihamishiwa baada ya kutoka hospital ya Kairuki iliyopo Mikocheni. Pichani juu ni gari maalumu la kubeba maiti na hapa lilikuwa likisubiri mwili wa mpendwa wetu Geogre Tyson tayari kwa safari ya kuelekea nyumbani kwake Mbezi Beach Makonde.
IMG_4330
Pichani ni wafanyakazi wa TV1 wakiwa wanausubiri mwili kutolewa nje.
IMG_4333 IMG_4336
Mpendwa wetu akiwa ametulia kwenye nyumba yake ya milele.
IMG_4340 IMG_4344 IMG_4345 IMG_4348 IMG_4352 IMG_4354 IMG_4360 IMG_4364 IMG_4367 IMG_4374 IMG_4375 IMG_4379 IMG_4381 IMG_4382 IMG_4384
Steve Nyerere pamoja na Rich Rich wakiwa kwenye nyuso za uzuni na kukubali kweli hawatomuona tena Tyson
IMG_4387
Anaitwa pasta Bob Makali kutoka Ocean Community Church alikuwa akiubiri neno la mungu na kuendesha sala hapa hapa nyumbani.
IMG_4391 IMG_4394 IMG_4395 IMG_4397 IMG_4399
Mtoto wa marehemu Tyson anaitwa Sonia pamoja na mama mtoto Monalisa wakiwa kwenye huzuni baada ya kuambiwa waende kumtizama mpendwa wao.


IMG_4402 IMG_4407 IMG_4410 IMG_4415 IMG_4416 IMG_4420 IMG_4421 IMG_4423 IMG_4424 IMG_4427 IMG_4428 IMG_4431 IMG_4436 IMG_4437 IMG_4438 IMG_4439 IMG_4440 IMG_4441 IMG_4451 IMG_4452 IMG_4454 IMG_4456 IMG_4457 IMG_4458 IMG_4461 IMG_4462 IMG_4463 IMG_4465 IMG_4466 IMG_4468 IMG_4470 IMG_4472 IMG_4476 IMG_4478
Picha Na:- DjChokaMusic

No comments:

Post a Comment