Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, June 23, 2014

UBELGIJI YAICHAPA URUSI 1-0

Better late than never: Divock Origi scores the winning goal two minutes from time

Bora kuchelewa kuliko kutofika: Divock Origi akifunga bao lake la ushidni zikiwa zimesalia dakika 2 mpira kumalizika.
MCHEZAJI kinda aliyetokea benchi,  Divock Origi ameifungia bao pekee Ubelgiji ikishinda 1-0 dhidi ya Urusi usiku huu katika mchezo wa kombe la dunia.
Haikuwa rahisi kwa Ubelgiji kupata matokeo, lakini zikiwa zimesalia dakika mbili mpira kumalizika, kinda huyo mwenye miaka 19 alifunga bao muhimu akimalizia kazi nzuri ya Eden Hazard.
Ushindi huo umewafanya Ubelgiji kuongoza kundi H kwa kujikusanyia pointi 6 na kwa maana hiyo wameshafuzu hatua ya 16.
Super sub: Origi is congratulated by team-mate Kevin Mirallas following his winner
Origi akipongezwa na mchezaji mwenzake Kevin Mirallas
Prayers answered: Eden Hazard laid on the winner for Origi which sends Belgium into the second round
Kikosi cha Urusi: Akinfeev, Kozlov, Ignashevich, Kanunnikov, Glushakov, Kokorin, Berezutskiy, Shatov, Samedov, Fayzulin, Kombarov

No comments:

Post a Comment