MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
15 hours ago


Ningeomba serikali suala la ajira ilichunguze vzr sana,Maana imefikia hatua hat sehemu za za kufanyia mazoezi kwa vitendo katika idara zilizo chini ya serikali nafasi zinatolewa kwa misingi ya ninani na anafahamikaje.Vilevile serikali ichunguze na ajira za mabenki yaliyo chini yake,TRA na idara nyinginezo.Zimeoza kabisa kama huna ndg siku hizi tunasema refa hupati nafasi ya kazi hapa TZ.
ReplyDelete