Gari yenye namba za usajili T 959 BSS iliyosababisha ajali hiyo na Bajaj
Gari ikiwa imeharibika vibaya
Bajaj ikiwa imejikunja baada ya kugongwa na gari hiyo
Ajali mbaya imetokea mda huu maeneo ya mbezi beach karibu na Girrafe Hotel ambapo Gari ndogo imegonga bajaj iliyokuwa na watu wawili ndani na inasemekana mtu mmoja amefariki dunia,na pia kuna majeruhi hali zao ni mbaya wanakimbizwa hospitali.Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wa gari hiyo na pia alikuwa amelewa ndipo gari ikamshinda na kuparamia Bajaj,Tutakuletea Taarifa kamili
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
11 hours ago









No comments:
Post a Comment