Gari yenye namba za usajili T 959 BSS iliyosababisha ajali hiyo na Bajaj
Gari ikiwa imeharibika vibaya
Bajaj ikiwa imejikunja baada ya kugongwa na gari hiyo
Ajali mbaya imetokea mda huu maeneo ya mbezi beach karibu na Girrafe Hotel ambapo Gari ndogo imegonga bajaj iliyokuwa na watu wawili ndani na inasemekana mtu mmoja amefariki dunia,na pia kuna majeruhi hali zao ni mbaya wanakimbizwa hospitali.Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wa gari hiyo na pia alikuwa amelewa ndipo gari ikamshinda na kuparamia Bajaj,Tutakuletea Taarifa kamili
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Aongoza Utoaji wa Elimu ya Hifadhi ya Jamii katika
Soko la Tegeta Nyuki
-
Na Mwandishi Wetu,
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha
Mshomba, amesema hakuna sababu kwa mwananchi aliyejiajiri ku...
2 hours ago









No comments:
Post a Comment