TAKRIBANI watu 15 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine wengi
wakijeruhiwa baada ya basi la Moro Best lililokuwa linatoka Mpwapwa
kwenda Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na lori eneo la Pandambili,
Kongwa mkoani Dodoma leo. Baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa
katika Hospitali ya Mkoa Dodoma huku wengine wakipelekwa Hospitali ya
Mpwapwa
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
6 hours ago





No comments:
Post a Comment